Rais Jakaya Mrisho Kikwete akionesha fomu kwa wanachama wa CCM muda mfupi baada ya kuichukua mjini Dodoma leo asubuhi.Pemebeni kulia akipiga makofi ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Katibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Yusuf Makamba akipeana na Rais Jakaya Mrisho kikwete katika makao makuu ya CCM mjini dodoma leo asubuhi,mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais.
Katibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Yusuf Makamba akimkabidhi fomu ya kugombea Urais, Rais Jakaya Mrisho kikwete katika makao makuu ya CCM mjini dodoma leo asubuhi.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa na baadhi ya wanawe wakati Rais Kikwete akichukua fomu za ugombea Rais katika makao makuu ya CCM Mjini Dodoma leo asubuhi(picha na Freddy Maro).
0 comments