
Hapa Mfalme akiwa na vimwana katika pozi fulani hivi la ki-falme!!! Acha Mfalme aitwe Mfalme, nyota ni nyota!!!

Mfalme Siboka ama Mfalme wa Barimi Extra akiwa kwenye pozi la Ki-Falme huyu ndiye Makirikiri wa Bongo katika nyimbo za Asili Tanzania.
Kwawakati huu msanii huyu anafanya kazi na kampuni ya Hartman Productions ambapo kampuni hiyo ipo mbioni kumtangaza kimataifa.
About author
Curabitur at est vel odio aliquam fermentum in vel tortor. Aliquam eget laoreet metus. Quisque auctor dolor fermentum nisi imperdiet vel placerat purus convallis.
0 comments