Mwaamuziki wa nyimbo za asili nchini, Costa Siboka (kulia) akiwa na Malikia Nei (kushoto kabisa) na katikati ni binti Mfalme aitwaye Ailati wakiwa katika moja ya picha kwenye video inayoitwa Nyota ni Nyota huko jijini Mwanza hivi karibuni.
Mfalme Siboka akiwa katika mawe maarufu jijini Mwanza (rock city) maeneo ya Kamanga , picha hii pia inaonekana kwenye video hiyo mpya, kwa nyuma ni Meli ya Mv Victoria ikiwa na Meli Mv Nansio ambazo zote hufanya safari ziwa Victoria.
Mfalme Siboka akiwa katika mawe maarufu jijini Mwanza (rock city) maeneo ya Kamanga , picha hii pia inaonekana kwenye video hiyo mpya, kwa nyuma ni Meli ya Mv Victoria ikiwa na Meli Mv Nansio ambazo zote hufanya safari ziwa Victoria.
0 comments