Latest News

dodoma kwa zizima kwa shamra shamra za Rais Kikwete kuchuku fomu za kugombea urais

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akionesha fomu kwa wanachama wa CCM muda mfupi baada ya kuichukua mjini Dodoma leo asubuhi.Pemebeni kulia akipiga makofi ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Katibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Yusuf Makamba akipeana na Rais Jakaya Mrisho kikwete katika makao makuu ya CCM mjini dodoma leo asubuhi,mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais.

Katibu Mkuu wa Chama Cha mapinduzi Yusuf Makamba akimkabidhi fomu ya kugombea Urais, Rais Jakaya Mrisho kikwete katika makao makuu ya CCM mjini dodoma leo asubuhi.

Mgombea Urais kupitia CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa kwenye hali ya furaha akizingumza na Mzee Msekwa wakati wa zoezi la udhamini mkoani Dodoma likiendelea,kushoto ni Waziri Mkuu Mh Pinda.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa na baadhi ya wanawe wakati Rais Kikwete akichukua fomu za ugombea Rais katika makao makuu ya CCM Mjini Dodoma leo asubuhi(picha na Freddy Maro).

Mama Salma Kikwete na Mama Pinda katika hafla hii

Vijana wa UVCCM wakihakikia kadi za wanachama wanaomdhamini JK
Uhakiki wa wadhamini wa JK waendelea


wengi wajitokeza kumdhamini JK
Uhakiki wa wadhamini wa JK unafanyika kwa makini
foleni ya wana CCM wanaotaka kumdhamini JK
Kwa hisani ya MichuziJR

Tags:

About author

Curabitur at est vel odio aliquam fermentum in vel tortor. Aliquam eget laoreet metus. Quisque auctor dolor fermentum nisi imperdiet vel placerat purus convallis.

0 comments

Leave a Reply