Latest News

More latest news

Editor's picks

WORLD

US

Entertainment

Business

  • The £140m flat: World-record price earns mystery buyer room service f...Read more

Sports

  • Mario Balotelli's double life: The bitter family feud that haunts the...Read more

Technology

JAN PAULSEN AANZA ‘KIBARUA’ RASMI NA STARS


Jan Paulsen (kulia) akiwapa maelekezo wachezaji wa Stars. Kulia kwake ni msaidizi wake Silvester Marsh.

Kocha mkuu wa timu ya taifa, Taifa Stars, Jan Paulsen aliyerithi nafasi ya Mbrazili Marcio Maximo, aliyeanza kazi na timu hiyo jana, leo aliendelea kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars.

….akiandaa uwanja kwa ajili ya zoezi maalum.

Akimuelekeza jambo kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja.

Athumani Iddi Chuji (kushoto) na Juma Kaseja, wakifanya mazoezi kwenye kikosi hicho.

Juma Kaseja akionesha cheche zake kwenye mazoezi hayo.

Abdi Kassim (kushoto) na Athumani Iddi Chuji, wakijifua mbele ya Jan Paulsen.

Jan Paulsen akimfundisha beki wa Timu hiyo, Shadrack Nsajigwa jinsi ya kumzuia adui.

Sehemu ya umati wa watu uliofurika kushuhudia mazoezi hayo leo asubuhi.

                                         PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS /GPL

Source by Global
Tags:

About author

Curabitur at est vel odio aliquam fermentum in vel tortor. Aliquam eget laoreet metus. Quisque auctor dolor fermentum nisi imperdiet vel placerat purus convallis.

0 comments

Leave a Reply