Latest News

More latest news

Editor's picks

WORLD

US

Entertainment

Business

  • The £140m flat: World-record price earns mystery buyer room service f...Read more

Sports

  • Mario Balotelli's double life: The bitter family feud that haunts the...Read more

Technology

RJ COMPANY WAMSHUSHA KWA MARA YA PILI IRENE UWOYA NCHINI


Kampuni ya RJ imemshusha kwa mara ya pili tena Irene Uwoya Ndikumana nchini Tanzania tayari kwa kuanza kurekodi filam mpya itakayoanza kushutiwa jumatatu ya wiki ijayo.Tayari Irene Uwoya keshawasili nchini na sasa yupo kambini kujiandaa na mzigo huo unaotarajiwa kutingisha tena nchini baada ya ule wa MY DREAM ambao mpaka leo bado unatingisha sokoni,Akiongea kwa niaba ya uongozi wa RJ Blandina Chagula ambaye ndiye Production Manager wa kampuni amesema kuwa kila kitu kinakwenda kama kilivyopangwa na crew nzima ya RJ itaingia mzigoni jumatatu watu watulie waone nini Irene Uwoya atakifanya safari hii baada ya kutikisa vilivyo katika MY DREAM

Irene Uwoya alivyofika nchini kwa mara ya kwanza kuja kucheza MY DREAM akiwa na mdau Inno Bachad

Nje ya ofisi za RJ Company

Hapa akiwa katika shooting ya MY DREAM na Dk Cheni,Safari hii JE?Irene atachuana na kina nani katika mzigo huu tusubiri tuone


Source by Ray the Greatest
Tags:

About author

Curabitur at est vel odio aliquam fermentum in vel tortor. Aliquam eget laoreet metus. Quisque auctor dolor fermentum nisi imperdiet vel placerat purus convallis.

0 comments

Leave a Reply