Latest News

SUGU ASHINDA KURA ZA MAONI CHADEMA MBEYA

Mzee mzima 2proud aka Sugu aka Mr11 ameshinda kura za maoni na kuwa mgombea wa kiti cha ubunge katka jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA sasa wajameni wale wanaopenda maendeleo na mapinduzi muda ndio huuu , usikae kimya maana uchaguzi ndio huoooo kwa hiyooo tumia kura yako vizuri.

Hapa MRII aka Joseph Mbilinyi alikuwa na Mzee King of Dancehall BeenieMan mitaaa fulani fulani pale kwa bi mkubwa .Tumpe surpot wana waneee huwezi jua anaweza kufanya ya ukweli kwani anaijua street kuliko wazushi wavaa makoti na tai ambao hata hawajaonja swaga la street. Pamoja wana tuwakilishe kwa kwenda mbele.

Source by Hungaz
Tags:

About author

Curabitur at est vel odio aliquam fermentum in vel tortor. Aliquam eget laoreet metus. Quisque auctor dolor fermentum nisi imperdiet vel placerat purus convallis.

0 comments

Leave a Reply