Jam session inaandaa ujio wa kimataifa zaidi , kwani hivi karibuni inazinduliwa ndani ya club SUN CIRRO rasmi tarehe 6 juni 2010 , wanafunzi wengi wana jiandaa likizo kuanzia hapo
watoto wengi toka shule tofauti jijini nawanaokaa boding wanajua tayari nini kinacho wasubiri mtaani baada ya mkurugenzi wa KAMPUNI ya HARTMANN kuja na kuleta mwamko mkubwa sana kwenye hii pati ya vijana inayo endelea kila juma 2.
kumbuka kwamba kila juma pili ma supastaa toka fani tofauti dar es salaam wameanza kugonga hodi naku sapoti vijana wao
VICENT KIGOSI *RAY* anaandaa ujio wake juma pili wiki hii 23 /05/2010 baada ya kumaliza mazungumzo na menejimenti ya programu husika ambayo inaendelea ,
kwa mawasiliano zaidi waweza kuwasiliana na menejimenti ya programu nzima kupitia
+255 784 78 2424 / 0714 881 361/ 0784 33 8595.
0 comments