Meya wa Jiji la Mwanza mbaroni kwa mauaji
Jeshi la polisi linamshikilia meya wa Jiji la Mwanza Mstahiki leonard
Bihondo kwa kosa la kuhusika na mauaji ya katibu wa CCM kata ya
Isamilo, Bi Bahati Stephano (50) ambaye aliuawa kwa kuchomwa na kisu
ofisini kwake mtaa wa Nera jijini Mwanza majira ya saa 6:30.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Simon Sirro, amethibitisha na kusema
alikamatwa jana Uwanja wa Ndege jijini Mwanza akitokea Dar es salaam kikazi.
Jeshi la polisi linamshikilia meya wa Jiji la Mwanza Mstahiki leonard
Bihondo kwa kosa la kuhusika na mauaji ya katibu wa CCM kata ya
Isamilo, Bi Bahati Stephano (50) ambaye aliuawa kwa kuchomwa na kisu
ofisini kwake mtaa wa Nera jijini Mwanza majira ya saa 6:30.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, Simon Sirro, amethibitisha na kusema
alikamatwa jana Uwanja wa Ndege jijini Mwanza akitokea Dar es salaam kikazi.
0 comments